1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

02.02.2017 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S2 Februari 2017

Ni ziara nyeti wakati Kansela Merkel wa Ujerumani atakapoizuru Uturuki hapo Alhamisi kwani nadhari ya dunia itakuwa hapo// Viwanda vya kuku nchini Afrika kusini vimeonya na kuhoji shehena kubwa ya kuku wanaoletwa kwa sehemu kubwa kutoka nchi za Umoja wa ulaya// Njaa, utapia mlo na vifo vinatishia usalama wa watoto milioni 6.5 katika maeneo duni yenye ukame nchini Somali, Ethiopia na Kenya.

https://p.dw.com/p/2WpfS