1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

01.12.2016 Matangazo ya mchana

SK2 / S02S1 Desemba 2016

Leo ni Siku ya Ukimwi Duniani// Maafisa wakuu wa shirika la Umoja wa Mataifa kuhusu misaada ya kiutu wameonya huenda mji wa Aleppo nchini Syria ukawa kaburi kubwa// Bunge la Colombia limeidhinisha rasmi makubaliano ya amani kati ya Serikali na waasi wa kundi la FARC// Kenya sasa imo mbioni kukamilisha mipango yake ya ujenzi wa kiwanda cha nyuklia.

https://p.dw.com/p/2TZT9