Sindano ya kinga dhidi ya ugonjwa wa UKIMWI inafanyiwa majaribio nchini Afrika Kusini ambako idadi ya watu wengi zaidi walio na maambukizi hayo inapatikana nchini humo// Huko nchini Tanzania, hospitali ya taifa ya nchi hiyo Muhimbili leo inazindua mpango wa kufanya uchunguzi wa Virusi vya Homa ya Ini Hepatitis B.