Rais wa Urusi Vladimir Putin amewasili katika mji mkuu wa Iran, Tehran kwa ziara inayochukuliwa na uongozi wa Jamuhuri hiyo ya Kiislam kama upinzani wa wazi dhidi ya sera ya nchi za nje ya Marekani// Vuguvugu la vyama vya upinzani maarufu Rassemblement nchini Kongo, limeelezea kwamba litaridhia kuahirishwa kwa uchaguzi hadi mwaka ujao ikiwa rais Kabila atang'atuka madarakani.