1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

01.09.2017 Matangazo ya mchana

SK2 / S02S1 Septemba 2017

Mahakama ya Juu nchini Kenya imebatilisha uchaguzi mkuu wa rais uliofanyikaa tarehe nane, mwezi wa nane mwaka huu// Waislamu wote nchini Tanzania wameungana na wanzao ulimwenguni kuhitimisha ibada ya Hija kwa swala maalum ya Eid// Madaktari wa DRC wako katika mgomo, wakiwa wanadai serikali kuwalipa marupurupu yao.

https://p.dw.com/p/2jCOI