Wakenya wanaisubiri kwa hamu kauli ya mahakama ya juu kuhusu kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi yaliyompa ushindi Uhuru Kenyatta mwanzoni mwa mwezi wa Agosti// Waumini wa dini ya Kiislamu kote ulmwenguni wanaadhimisha sikukuu ya Eid al Adha hii leo// Lebanon inajiandaa kwa fursa za kibiashara katika mchakato wa kuijenga upya Syria.