Nchini Kenya hali bado ni tete, leo kulibuka habari ya kutoweka kwa Msemaji wa Jeshi la Kenya Kanali Joseph Awouth ambae hata hivyo pamoja na kutoweka kwake tangu Ijumaa aliibuka na kusema yupo salama// Rais wa Rwanda Paul Kagame, ambaye yuko madarakani kwa muda wa miaka 17 sasa, ametabiri jana Jumatatu kwamba atashinda uchaguzi wa hapo Agosti 4 kwa wingi mkubwa .