1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

01.08.2017 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S1 Agosti 2017

Leo ni siku ya kuadhimisha miaka 60 tangu Benki kuu ya Ujerumani ilipoanza kazi yake mnamo tarehe 1 mwezi wa Agosti mwaka1957// Tarehe 4 Agosti wananchi nchini Rwanda watapiga kura kumchagua rais wao pamoja na bunge la nchi hiyo// Waasi wa Sudan Kusini wanaongozwa na Dr. Riek Machar wamekanusha madai ya kuwahujumu raia katika maeneo yalio chini yao pamoja na kuwalazimisha vijana kujiunga nao.

https://p.dw.com/p/2hU4D