Viwango vipya vya ushuru vilivyowekwa na serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani dhidi ya bidhaa za chuma na bati kutoka nchi washirika vimeanza kutekelezwa usiku wa kuamkia leo// Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa limezipa pande hasimu nchini Sudan Kusini muda wa mwezi mmoja kufikia makubaliano ya amani la sivyo wawekewe vikwazo.