1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

01.06.2018 Matangazo ya asubuhi

TSA / S08S1 Juni 2018

Chama tawala katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo cha PPRD kimejiandaa kufanya kampeni za uchaguzi, huku picha za rais Joseph Kabila zikiwa zimebandikwa kila mahali// Shule za watoto wakimbizi nchini Lebanon zinazoendeshwa na Shirika la Umoja wa Mataifa kwa ajili ya wakimbizi wa Kipalestina ziko mashakani.

https://p.dw.com/p/2ylnv