Miongoni mwa tuliyoyapa kipaumbele: Marekani yataka majeshi ya utawala wa Syria kusitisha mashambulizi mjini Aleppo ambako raia 250 wameuawa katika kipinidi cha siku kumi// Mamia ya watu waandamana Iraq kutaka mageuzi ya kupambana na ufisadi// Jengo lililoporomoka Nairobi Kenya halikuwa na kibali cha kuruhusu watu kuishi