Leo ni siku ya kimataifa ya wafanyakazi// Huku ulimwengu ukijiandaa kuadhimisha siku ya Uhuru wa Habari duniani, nchi nyingi zimepiga hatua katika kuzingatia Uhuru huo ingawa mapungufu bado yapo kwingine// Saudi Arabia inasema inakusudia kujizuwia na kununua silaha kutoka Ujerumani.