Rais wa Marekani, Donald Trump kwa mara kwanza amelihutubia bunge la Marekani// Majeshi ya Iraq yanayoungwa mkono na Marekani yamelidhibiti eneo la mwisho lililokuwa linashikiliwa na wapiganaji wa kundi la kigaidi linalojiita Dola la Kiislamu IS magharibi mwa mji wa Mosul// Mgombea Urais wa wahafidhina wa chama cha Republican nchini Ufaransa Francois Fillon anakataa kujiondoa kwenye mbio hizo.