Lawama dhidi ya vyombo vya habari, zinazokuzwa na mitandao ya kijamii, zinaongezeka tangu mrengo wa kushoto mpaka wa kulia mnamo wakati huu wa kampeni za uchaguzi wa rais nchini Ufaransa// Baada ya kumalizika kwa utawala wa zaidi ya miongogo miwili wa rais Yahya Jammeh, Wagambia sasa wameanza kutafuta haki kwa ndugu na jamaa waliotoweka wakati wa utawala huo wa kikandamizi.