Viongozi wa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika, wameidhinisha kile kinachoitwa wito wa mkakati wa hatua ya pamoja ya kujitoa katika mahakama ya uhalifu ya kimataifa- ICC// Rais mpya wa Marekani Donald Trump amemteuwa jaji Neil Gorsuch kuwa mwanachama wa korti kuu// Raia 124 walikabidhiwa jana kwa polisi ya Burundi kwenye mpaka wa DRC.