Kansela Angela Merkel wa Ujerumani ataizuru Uturuki kesho// Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo limesema limewauwa wapiganaji wanne wa kundi la waasi la M23// Mashindano ya kandanda ya Kombe la mataifa ya Afrika yanayofanika nchini Gabon, yanaingia hatua ya nusu fainali.