Vyombo vya habari
Zainab Aziz
20 Aprili 2017Matangazo
- Nchi ninayotokea: Kenya
- Mwaka nilipojiunga na DW: 2004
- Nilivyojiunga na DW: Nilitokea Shirika la Utangazaji Kenya KBC
- Kwa nini niliamua kuwa mwandishi wa habari: Naipenda kazi hii
- Vigezo mtu anavyotakiwa kuwa navyo kuwa mwandishi wa habari: Awali ya yote elimu nzuri, subira na kuwa na moyo wa kujitolea
- Changamoto ninazokutana nazo kwenye maisha yangu ya kazi: Kupata mahojiano kwa ajili ya matangazo kutokana na muda
- Tukio la kihistoria ambalo sitalisahau: Pale aliyekuwa Rais wa Shirikisho la Ujerumani, Horst Köhle, alipotembelea DW mwaka 2006 na nikapata fursa ya kumwimbia na kupiga naye picha
- Mtu ambaye ningependa kumhoji: Mke wa Rais wa Tanzania, Janet Magufuli