Baada ya kansela wa Ujerumani kutangaza mpango wa kuachia ngazi, siasa zimepamba moto hasa za kutaka kumrithi. Wakati huo huo uamuzi wa Merkel wa kuacha ngazi pia umekabiliwa na ukosoaji kutoka kwa baadhi ya wachambuzi. Makala ya Sura ya Ujerumani inaangazia zahma inayokumba Ujerumani. Mtayarishaji na msimulizi ni Oumilkheir