1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wazee wanaotuhumiwa kuwa wachawi

14 Oktoba 2021

Maisha ya wazee katika baadhi ya sehemu huko pwani ya Kenya yako hatarini kutokana na dhana ya vijana kwamba wazee hao ni washirikina na wachawi. Vijana hao aghalabu husema wazee hao ndio wahusika wakuu wa kutofanikiwa kwao maishani. Thelma Mwadzaya analivalia njua suala hili katika makala ya Mbiu ya Mnyonge.

https://p.dw.com/p/41fpU