Kufuatia mwendelezo wa matukio ya mauaji kwa raia wa Tanzania wanaoishi kwenye Mpaka wa Tanzania na Msumbiji, raia wa Tanzania wanaoishi kwenye Mkoa ulio mpakani wa Mtwara, wamevitaka vyombo vya ulinzi na usalama nchini humo kuboresha zaidi mazingira ya usalama wa mipaka na raia wanaoishi maeneo hayo. Sikiliza ripoti ya Salma Mkalibala