Janga la corona linapoendelea kuwa tatizo ulimwenguni kote, watoto wasiokuwa na makao wametambuliwa kuwa miongoni mwa walioko katika hatari kubwa ya kuambuklizwa au kuambukiza. Kutokana na hilo, jiji la Kampala limeanza hatua ya kuwapa watoto hao makao. #Kurunzi