SiasaWanawake wapambanajiTo view this video please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaAmina Mjahid 21.10.202021 Oktoba 2020Ni wanawake takribani 500 ambao kati yao wapo wale waliokimbia mapigano dhidi ya waasi Kaskazini mwa Uganda. Walipata makazi katika mtaa wa 'Acholi Quarters' huko Kampala. Huko wanachimba kokoto ili kuendesha maisha yao ya kila siku. #kurunzihttps://p.dw.com/p/3kFMwMatangazo