Fasihi ya Kiswahili kwa kiasi kikubwa imeandikwa na Waswahili hasa wa maeneo ya pwani na mchango mkubwa ukitoka kwa wanaume..lakini sasa kutokana na mabadiliko wanawake nao wanaingia kwa kasi kwenye uwanja wa fasihi. Je ni kina nani hao waliamua kuchukua hatua hii na mchango wao ukoje? Sikiliza makala hii ya utamaduni na sanaa.