1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wanawake barani Afrika wana mayoma

4 Oktoba 2011

Maradhi ya kufanya nyama kwenye fuko la uzazi, yanayojuilikana kama mayoma au fibroids, yanawakumba asilimia kubwa ya wanawake katika mataifa masikini, likiwemo bara la Afrika, jambo ambalo linazidi kuhatarisha afya zao.

https://p.dw.com/p/Rp4p
Mtu ni afya
Mtu ni afyaPicha: Fotolia/Gina Sanders

Salma Said azungumzia namna ugonjwa wa Mayoma unavyoathiri maisha ya mwanamke, matibabu yake na uzoefu wa watu waliowahi kuuguwa na kutibiwa.

Mtayarishaji/Msimulizi: Salma Said
Mhariri: Othman Miraji