1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wanaume nao wanastahili kujipodoa?

6 Septemba 2018

Kila mtu ana haki ya kupendeza, lakini wanaume kweli wanastahili kujipodoa? Kuna vijana wanaoipinga tabia hiyo na kuna wanaoiunga mkono. Ungana na Jacob Safari usikie maoni ya vijana tofauti.

https://p.dw.com/p/34QAY