1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wanaharakati Kenya wabwagwa uchaguzi mkuu

15 Agosti 2017

Katika uchaguzi huo zimeangushwa sura kongwe nyingi na kuleta nyingine mpya. Lakini pia wapo wanaharakati maarufu na vijana ambao watarajiwa kupenya kwenye kinyang'anyiro hicho lakini hawakufanikiwa.

https://p.dw.com/p/2iHCY
Uchaguzi mkuu Kenya
Picha: Reuters/T. Mukoya

J3.16.08.2017_ Interview Kenya activist- Parliament -Gashihi - MP3-Stereo

Mmoja wao ni mwanaharakati wa haki za binadamu, Gacheke Gachihi, ambaye aliwania nafasi za ubunge na kushindwa. Kipi hasa kiliwaangusha wagombea kama hawa? Isaac Gamba amezungumza na Gachihi akiwa jijini Nairobi.