SiasaWakaazi wa Masaki Dar es Salaam wataka usalama uimarishweTo view this video please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasa21.06.201921 Juni 2019Baadhi ya wakaazi wa Dar es Salaam wametoa wito wa kutaka usalama uimarishwe katika eneo hilo, na tahadhari iliyotolewa na ubalozi wa Marekani kuhusu kitisho cha shambulizi la kigaidi, ichukuliwe kwa uzito unaostahiki.https://p.dw.com/p/3Kr54Matangazo