SiasaKimataifaWagombea zaidi wachukua fomu za urais TanzaniaTo view this video please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaKimataifa07.08.20207 Agosti 2020Joto la uchaguzi nchini Tanzania linazidi kupanda ambapo hadi sasa vyama vya siasa 7 kati ya vyama 13 vimechukua fomu ya kuwania nafasi ya urais katika uchaguzi wa Oktoba 2020.https://p.dw.com/p/3gdHtMatangazo