SiasaViongozi hasimu wa Sudan Kusini kugawana madarakaTo view this video please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaSylvia Mwehozi26.07.201826 Julai 2018Viongozi wanaohasimiana wa Sudan Kusini, Rais Salva Kiir na makamu wake wa zamani Riek Machar, wamesaini mkataba wa awali wa kugawana madaraka. Machar atakabidhiwa tena wadhifa wake wa kuwa makamu wa kwanza wa rais.Papo kwa Papo 26.07.2018https://p.dw.com/p/327mZMatangazo