1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Vikao vyaanza upya kati ya Serikali ya DRC na M23

16 Januari 2013

Vikao vya pamoja baina ya wajumbe wa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo na waasi wa M23 vimefunguliwa upya leo mjini Kampala nchini Uganda.

https://p.dw.com/p/17Kkh
Waasi wa M23
Waasi wa M23Picha: AP

Vikao hivyo vinafanyika baada ya kukwama kwa siku nne, na tayari ajenda ya mikutano imekubaliwa na pande mbili husika.

John Kanyunyu na ripoti kamili kutoka Kampala.  Kusikiliza ripoti hiyo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini

Mwandishi: John Kanyunyu

Mhariri: Josephat Charo

Ruka sehemu inayofuata Gundua zaidi

Gundua zaidi