Je vijana wanaoishi katika vijiji vya mbali mfano visiwani, wanashughulikia vipi masuala yao ya afya? Makala ya Vijana Tugutuke inaangazia hali hiyo katika kisiwa cha Pate Kenya, na jinsi vijana wanaelimishana kwa njia mbalimbali kuhusu mada tofautofauti za Afya. Mtayarishi ni Thelma Mwadzaya