Vijana wa Congo washawishika kubadili maisha kupitia vipindi vya Redio Dw Kiswahili. Vijana wa Mashariki mwa Congo wamejikusanya kuanzisha shughuli na harakati za kimaendelea baada ya kuwa na vikundi vya kuisikiliza Redio hii ya kimataifa kutoka mjini Bonn. Kipindi hiki cha Karibu kinakusogezea vijana hao waliotembelewa na mwandishi wetu Benjamin Kasembe. Sikiliza Karibuni na Saumu Mwasimba