Kwenye makala yetu leo msikilizaji utasikia kuhusu Azimio la Malabo la mwaka 2014 ambalo linazihimiza nchi za Afrika kutenga asilimia 10 ya bajeti zake kwa ajili ya kilimo. Sikiliza hapa kujua kipi kimekwishatekelezwa hadi sasa na kipi ambacho bado na kwa sababu zipi?