1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Utajiri uliofichika kwenye kilimo cha nyanya

23 Desemba 2020

Reginald Awe mkazi wa wilaya ya Karatu mkoa wa Arsuha Tanzania, alianza kujishughulisha na kilimo cha nyanya miaka mitatu iliyopita baada ya kutambua manufaa na utajiri mkubwa unaopatikana katika zao hili. Veronica Natalis amemtembelea na kuandaa vidio hii kuhusu utajiri aliogundua katika kilimo hicho cha nyanya.

https://p.dw.com/p/3n1PH