1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
Historia

Usman dan Fodio: Mwanzilishi wa Ukhalifa wa Sokoto

Yusra Buwayhid
11 Februari 2020

Alikuwa ni mwalimu wa dini ya Kiislam aliyegeuka kuwa mwanamapinduzi: Usman dan Fodio, alikosoa mfumo wa kisiasa wa eneo linalojulikana leo kama kaskazini mwa Nigeria na kuanzisha Ukhalifa wa Sokoto.

https://p.dw.com/p/3WAYY