Tunatumia 'cookies' ili kuboresha huduma zetu kwako. Maelezo zaidi yanaweza kupatikana katika sera yetu ya faragha.
Vyama vya upinzani nchini Tanzania vimekutana visiwani Zanzibar na kutoa tamko zito la ushirikiano kulinda demokrasia na haki za binaadamu na pia kuutangaza mwaka 2019 kuwa mwaka wa kudai haki.
Makamu wa Rais wa Nigeria Yemi Osinanjo, amezindua mkutano wa 64 wa mwaka wa mahakama, katika Mahakama ya Afrika inayoshughulika na haki za binadamu iliyopo Arusha Tanzania.
Licha ya serikali ya Tanzania kutoa ruzuku ya shilingi bilioni 100 ili kupunguza bei ya mafuta, chama cha CHADEMA kimeitaka serikali kuondoa kodi ya shilingi 600 za Tanzania kwenye kila lita moja ya nishati ya mafuta
Waziri wa mambo ya kigeni wa Marekani Anthony Blinken Jumatano hii amefanya mazungumzo na viongozi waandamizi nchini India katika mikutano inayotarajiwa kuimarisha ushirikiano.
Rais Samia Suhulu Hassan wa Tanzania amepokea ripoti ya wadau wa demokrasia ya vyama vingi vya siasa na kubainisha dhamira ya utawala wake kutaka kuwa na mazingira mazuri ya kuendesha shughuli za kisiasa nchini humo.