Vyama vya upinzani 8 vinavyoshirikiana kisiasa nchini Tanzania vimefungua shauri katika mahakama ya Afrika Mashariki kupinga sheria ya marekebisho ya vyama vya siasa kwa madai kuwa inaminya vyama vya siasa, kukiuka katiba ya nchi pamoja na Kukinzana na mikataba ya kimataifa ambayo nchi hiyo imeridhia.