Ni vipi unawasaidia vijana kutambua vipaji vyao? Au kama wewe ni kijana unatumia njia zipi kuhakikisha kipaji chako kinaimarika na kukusaidia? Mkoani Shinyanga vijana ambao ni wasanii wameandaa tamasha kwa jina FANAHA. Je ni vipi tamasha hili linawasaidia katika ukuzaji wa vipaji vyao? Kulijibu hilo, Veronica Natalis anawashirikisha kwenye kipindi Vijana Tugutuke