You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Iran
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Ukraine
Ukraine ndiyo nchi kubwa kabisa barani Ulaya. Ina wakaazi wapatao 43,000,000.
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Urusi: Marekani ina jukumu muhimu kumaliza vita na Ukraine
Wawakilishi wa Urusi na Ukraine walifanya mazungumzo yao ya kwanza ya moja kwa moja ya amani huko Uturuki apo jana.
Shambulio la Urusi kwenye basi la abiria laua watu 9 Ukraine
Hayo yanajiri siku moja baada ya Moscow na Kyiv kufanya mazungumzo yao ya kwanza ya moja kwa moja ya amani huko Uturuki.
UN yapunguza ufadhili wa misaada kwa Yemen, DRC na Somalia
Umoja wa Mataifa umesema hatua hiyo inahatarisha maisha ya mamilioni ya watu kote ulimwenguni.
Mazungumzo ya Urusi na Ukraine yafanyika Istanbul
Urusi na Ukraine zimefanya mazungumzo ya ana kwa ana leo Ijumaa nchini Uturuki.
Von der Leyen: Ulaya inaandaa vikwazo vipya dhidi ya Urusi
Umoja wa Ulaya unaanda awamu mpya ya vikwazo kuishinikiza Urusi kumaliza vita vya Ukraine.
Mazungumzo kati ya Urusi na Ukraine yafanyika Istanbul
Hata hivyo Urusi na Ukraine zimeafikiana kubadilishana wafungwa 1,000 na kuendelea kuwasilisha mapendekezo ya kina.
Mazungumzo kati ya Urusi na Ukraine kuanza Istanbul
Mazungumzo hayo ni ya kwanza ya moja kwa moja kati ya Urusi na Ukraine tangu mwaka 2022.
Maoni: Juhudi za kusitisha mapigano nchini Ukraine
Rais wa Marekani, Donald Trump, aliahidi kuvimaliza vita hivyo mara tu baada ya kuingia madarakani
Wawakilishi wa Urusi na Ukraine wanakutana Istanbul
Wajumbe wa Urusi na Ukraine wako mjini Istanbul, Uturuki na mchana huu wanafanya mazungumzo ya ana kwa ana.
Rubio: Matumaini ya amani Ukraine ni madogo mno
Mkuu wa ujumbe wa Urusi Vladimir Medinsky amesema anatarajia wawakilishi wa Ukraine wawasili kwa mwanzo wa mazungumzo ya
Rubio: Matumaini ya mwafaka Ukraine ni madogo mno
Mkuu wa ujumbe wa Urusi Vladimir Medinsky amessema anatarajia wawakilishi wa Ukraine wawasili kwa mwanzo wa mazungumzo y
Zelenskiy agomea mazungumzo baada ya Putin kutotokea
Zelenskiy amesema hana jambo kubwa litakalompeleka Instanbul ikiwa Rais hatokuwepo.
Ujumbe wa Ukraine, bila Zelensky kufanya mazungumzo na Urusi
Zelensky amewaambia waandishi wa habari mjini Ankara kuwa ujumbe wa Urusi haujamjuisha yeyote anayeweza kufanya maamuzi.
Wajumbe wa Urusi na Ukraine wawasili Uturuki kwa mazungumzo
Wajumbe wa Urusi na Ukraine wamewasili Uturuki kuhudhuria mazungumzo yenye lengo la kuvimaliza vita vya miaka mitatu.
Wajumbe wa Ukraine na Urusi wako Uturuki kujadili amani
Urusi ilituma ujumbe wa ngazi ya chini huku Moscow ikithibitisha kuwa Rais Vladmir Putin hatoshiriki.
Putin hatohudhuria mazungumzo ya amani Istanbul
Rais wa Urusi Vladimir Putin amethibitisha kwamba hatohudhuria mazungumzo ya amani yanayofanyika nchini Uturuki hii leo.
Putin hatohudhuria mazungumzo ya amani Istanbul
Rais wa Urusi Vladimir Putin amethibitisha kwamba hatohudhuria mazungumzo ya amani yanayofanyika nchini Uturuki Alhamis.
EU yaidhinisha orodha nyingine ya vikwazo kwa Urusi
Karibu watu 2,400 wanaokabiliwa na marufuku ya kusafiri na mali zao kuzuiwa.
Zelensky amtolea mwito Trump kuhakikisha mkutano na Putin
Zelensky amemtuhumu Putin kwamba hana nia ya dhati ya kuvimaliza vita kati ya Moscow na Kyiv.
Macron: Ufaransa haitaki kuchochea "Vita vya Tatu vya Dunia"
Macron ameonekana kuchukua jukumu kubwa la kujaribu kuvimaliza vita vya miaka mitatu kati ya Urusi na Ukraine.
Mwangaza wa Ulaya: Juhudi za amani katika mzozo wa Ukraine
Viongozi wa ngazi za juu wa Urusi na Ukraine wanatarajiwa kukutana wiki hii mjini Instanbul nchini Uturuki, kujadili namna ya kuumaliza mzozo wao uliongia mwaka wa tatu na ambao unaendelea kusababisha maafa na uharibifu mkubwa. Ikiwa yatakuwepo, unadhani, kuna ishara zozote za kwamba mara hii mazungumzo hayo kati ya Urusi na Ukraine yatafanikiwa? Ungana na Bakari Ubena.
Zelenskyy amtaka Putin kuhudhuria mazungumzo ya Uturuki
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy amesema atakuwa Uturuki wiki hii akimsubiri mwenzake wa Urusi, Vladimir Putin.
Trump atafakari kujiunga na mazungumzo ya Ukraine Uturuki
Rais Trump amesema anafikiria kusafiri kwenda Uturuki kushiriki mazungumzo ya amani kuhusu Ukraine.
Zelenskyy asema hayapokea majibu ombi la mkutano na Putin
Rais wa Ukraine amesema bado hajapokea majibu kutoka Urusi juu ya ombi lake la kukutana ana kwa ana na Putin.
Urusi yabebeshwa lawama ya kuidungua ndege ya Malaysia MH17
Ndege ya MH17 ilidunguliwa katika anga ya Ukraine ikitokea Amsterdam kwenda Kuala Lumpur na kuuwa watu 298.
Mataifa ya Ulaya yatishia kuongeza vikwazo dhidi ya Urusi
Viongozi wa Ulaya watoa wito wa kuongeza shinikizo kwa Urusi ili ishiriki mazungumzo ya kidiplomasia kusitisha mapigano.
Urusi yakataa kupangiwa na EU kusitisha vita Ukraine
Urusi imesema Umoja wa Ulaya haupaswi kuipangia muda wa kusitisha vita Ukraine na kusititiza juu ya mazungumzo.
Viongozi wa Ulaya wakutana London kuujadili mzozo wa Ukraine
Aidha kuna matarajio ya kufanyika Alhamisi hii huko nchini Uturuki mazungumzo ya moja kwa moja kati ya Moscow na Kiev
Zelensky: Niko tayari kukutana na Putin kwa mazungumzo
Zelensky ameongeza kwamba hakuna maana yoyote ya kuendeleza mauaji.
Lammy kuwa mwenyeji wa Weimar+ kwa ajili ya Ukraine
Mkutano huo unafanyika baada ya Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky kueleza utayari wa kufanya mazungumzo na Putin.
Zelensky: Niko tayari kukutana na Putin kwa mazungumzo
Hata hivyo hakukuwa na majibu yoyote kutoka Ikulu ya Urusi Kremlin kuhusu utayari wa Zelensky kuzungumza na Putin.
Uturuki iko tayari kuandaa mazungumzo ya Ukraine na Urusi
Uturuki imesema kuwa iko tayari kuwa mwenyeji wa mazungumzo ya amani kati ya Urusi na Ukraine.
Papa Leo XIV atoa wito wa amani duniani
Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Leo wa kumi na nne, ameyatolea wito mataifa makubwa ulimwenguni kuvikataa vita.
Uturuki iko tayari kusimamia mazungumzo ya amani ya Ukraine
Mgogoro kati ya Urusi na Ukraine kutafutiwa ufumbuzi mjini Istanbul
Putin ataka mazungumzo ya ana kwa ana na Ukraine
Rais wa Urusi, Vladimir Putin amependekeza yafanyike mazungumzo ya ana kwa ana na Ukraine ili kupata amani ya kudumu.
Viongozi wa Ufaransa, Ujerumani, UK, Poland ziarani Ukraine
Viongozi hao wamesema wanaunga mkono mpango wa amani wa rais wa Marekani Donald Trump.
Ukraine: Tupo tayari kusitisha mapigano kwa siku 30
Ukraine imesema iko tayari kwa usitishaji mapigano na Urusi kwa muda wa siku 30 kuanzia siku ya Jumatatu.
Urusi: Marekani na Ulaya ziache kuipatia Ukraine silaha
Peskov: ikiwa makubaliano hayo yatafikiwa bila ya sharti hilo kutekelezwa, itakuwa ni faida kubwa kwa Ukraine.
Umoja wa Ulaya waahidi euro bilioni moja kwa Ukraine
Ujerumani imeahidi kuipa Ukraine msaada zaidi wa euro milioni 40.
Merz anataka ushuru wote kati ya Marekani na Ulaya uondolewe
Merz ameliunga mkono pendekezo la Trump kuhusu usitishaji mapigano usio na masharti kw asiku 30 nchini Ukraine.
Merz: Urusi itawekewa vikwazo ikipuuza mchakato wa amani
Kansela wa Ujerumani amesema Urusi itakabiliwa na vikwazo vipya kama itakataa kuyapa uzito mazungumzo ya amani.
Trump anaitaka Urusi kusitisha vita kwa siku 30 na Ukraine
Trump ameanzisha upya wito wa usitishaji mapigano baada ya kuzungumza na Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky.
Viongozi wawasili Moscow kuhudhuria "sherehe za ushindi"
Gwaride la kijeshi litafanyika kesho Ijumaa.
Kwanini juhudi za EU kujitenga na gesi ya Urusi ni ngumu?
Tume ya Ulaya imetangaza mpango kumaliza utegemezi wa mafuta ya kisukuku kutoka Urusi ifikapo mwaka 2027.
Ulaya yaadhimisha miaka 80 ya mwisho wa Vita Kuu ya Pili
Ulaya imeadhimisha miaka 80 ya mwisho wa Vita vya Pili vya Dunia, chini ya kivuli cha vita vinavyoendelea Ukraine.
Ukraine: Urusi imefanya mashambulizi licha ya agizo la Putin
Putin aliagiza kusitisha mapigano nchini Ukraine kwa muda wa siku tatu kunazia leo Alhamisi.
Usitishaji mapigano wa Urusi waanza kutekelezwa Ukraine
Usitishaji huo wa mapigano kwa saa 72 unatarajiwa kudumu hadi saa sita usiku Jumamosi kuamkia Jumapili.
Urusi: Viongozi 29 wa kigeni kuhudhuria sherehe za Ushindi
Hayo yanajiri wakati mapigano kati ya Urusi na Ukraine yanaendelea.
Trump kushirikiana na Erdogan kumaliza vita vya Ukraine
Rais Donald Trump amesema anapanga kufanya kazi pamoja na mwenzake wa Uturuki kumaliza vita vya Ukraine.
Urusi na Ukraine zashambuliana licha ya juhudi za upatanishi
Makabiliano kati ya Urusi na Ukraine yameendelea kushuhudiwa kutwa nzima jana Jumatatu na usiku wa kuamkia leo.
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 22 wa 98
Ukurasa unaofuatia