1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ukiukaji wa haki za binadamu Sudan

Zainab Aziz
6 Aprili 2018

Sudan imekuwa inalaumiwa na kukoselewa juu ya kukiuka haki za binadamu. Lawama, madai na shutuma zimekuwa zinatolewa na mashirika kadhaa ya kutetea haki za binadamu ya ndani na nje ya Afrika. Zainab Aziz anaangazia yote haya katika Mbiu ya Mnyonge.

https://p.dw.com/p/2vb8X