1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ujerumani baada ya Uchaguzi

28 Septemba 2009

<p> </p> <p>Kama ulivyosikia msikilizaji uchaguzi umekamilika hapa Ujerumani.

https://p.dw.com/p/JsRz
Ujerumani baada ya Uchaguzi
Chama cha CDU kimeibuka washindi na kiko katika maandalizi ya kuunda serikali ya pamoja na chama cha Kiliberali cha FDP kinachoongozwa na Guido Westerwelle. Hii ni mara ya kwanza kwa kipindi cha zaidi ya miaka 15 tangu serikali kuundwa kati ya vyama vya mrengo wa kati na kulia wakati wa utawala wa Kansela Helmut Kohl. Jee matokeo haya yana maana gani? Hilo ndilo suali Othman Miraji alimuuliza Hannelore Steer, mchambuzi wa masuala ya kisiasa wa hapa Ujerumani.

Mtayarishi: Othman Miraji Mhariri: Thelma Mwadzaya