1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Uhuishwaji wa Ikolojia katika mto Rufiji nchini Tanzania

3 Juni 2021

Jitihada za kulinda na kutunza baianowai inayopatikana katika mto Rufiji huku shughuli za kiuchumi zikiendelea kama vile kilimo cha umwagiliaji zinaufanya mto huu kuwa wa kipekee kwa kuwa na miradi mbalimbali ya kutunza mazingira ikiwemo ile ya upandaji miti kando ya mto.

https://p.dw.com/p/3uOe0