1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Uganda yaruhusu matuimizi ya simu janja shuleni

18 Mei 2022

Kutamalaki kwa teknolojia kunalazimisha kuvunja miiko na taratibu kwa baadhi ya nchi na jamii ilizojiwekea. huko Uganda baada ya waliomu kuona kuna haja ya wanafunzi kuanza kutumia simu janja darasani kwa ajili ya masomo serikali imeruhusu, lakini bado wazazi na walezi wanapata wasiwasi, juu ya mienendo ya vijana wao dhidi ya ulimwengu wa teknolojia.

https://p.dw.com/p/4BTpQ