Asili na mazingiraUganda yaomboleza kifo cha sokwe ZakayoTo view this video please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoAsili na mazingiraIddi Ssessanga27.04.201827 Aprili 2018Sokwe Zakayo, ambaye ndiye alikuwa mkongwe zaidi nchini Uganda, amefariki akiwa na umri wa miaka 54. Alikuwa maarufu sana na kipenzi cha wageni wengi wanaozuru mbuga ya wanyama ya Entebbe.https://p.dw.com/p/2wowWMatangazo