Uganda: Kongamano la Amani na Usalama
6 Oktoba 2009Matangazo
Haya yasemwa leo na afisa mkuu wa ulinzi wa wakimbizi wa shirika hilo la
UNHCR George Kuchio akizungumza katika kongamano la amani na usalama
linaloendelea mjini Kampala nchini Uganda. Mwandishi wetu wa Kampala
Leyla Ndinda amehudhuria kongamano hilo lililoanza jana na hii hapa ripoti
yake kuhusu kilichojiri leo.
Mwandishi:Leyla Ndinda
Mpitiaji:Jane Nyingi