Tuzo ya mwaka huu ya waandishi wa shirika la habari la DW mwaka huu inawaendea waandishi walioripoti kuhusu ugonjwa wa COVID-19 licha ya kukabiliwa na ukandamizwaji. Hii hapa ni kauli ya Mkurugenzi Mkuu wa DW Peter Limbourg kuhusu tuzo hiyo. #kurunzi 04.05.2020