1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Timu ya soka la Ufukweni Tanzania yaanza vibaya COSAFA

Josephat Charo
26 Septemba 2022

Timu ya taifa ya soka la ufukweni imefungua vibaya pazia la michuano ya COSAFA. Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars inaangazia mchezo wake wa pili wa kirafiki ulio katika kalenda ya Shirikisho la Soka la Kimataifa, FIFA. Sikiliza ripoti ya Mhindi Joseph.

https://p.dw.com/p/4HMvq