1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Tarifa ya Habari Asubuhi 17.11.2017

Grace Kabogo
17 Novemba 2017

Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe ameendelea kushikilia msimamo wake wa kukataa kujiuzulu baada ya jeshi kuidhibiti nchi hiyo // Kansela wa Ujerumani, Angela Merkel ameahidi kupunguza matumizi ya nishati inayotokana na makaa ya mawe // Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limelikataa azimio la Marekani la kuanzisha upya uchunguzi wa kimataifa kuhusu mashambulizi ya kemikali nchini Syria.

https://p.dw.com/p/2nmYx