1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Tarehe. 21,01,2018- Matangazo ya mchana

Isaac Gamba
21 Januari 2018

Tuliyo nayo ni pamoja na: Wanachama wa chama cha SPD wakutana mjini Bonn kuamua juu ya uwezekano wa kuendelea na mazungumzo ya kuunda serikali mpya ya muungano // Makamu wa rais wa Marekani Mike Pence atetea uamuzi wa Trump kutambua Jerusalem kuwa mji mkuu wa Israel// Mahakama moja Iraq yamuhukumu kunyongwa mwanamke raia wa Ujerumani

https://p.dw.com/p/2rFHB