Tanzania: Miaka 48 ya Muungano
26 Aprili 2012Matangazo
Maadhimisho haya yamekuja wakati ambapo manunguniko juu ya muungano huo yakionekana kuongezeka katika kipindi ambacho taifa hilo liko kwenye mchakato wa kuandaa katiba mpya. Saumu Mwasimba amezungumza na Dr Benson Bana mhadhiri wa chuo kikuu cha Daresalaam na kwanza anaanza kuelezea tija za muungano huo.
(Kusikiliza mazungumzo hayo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini)
Mwandishi: Saumu Mwasimba
Mhariri: Mohamed Abdulrahman